Monday, May 7, 2012

Mmiliki wa Blog hii anapenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Rais, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa uteuzi wake wa baraza  jipya la Mawaziri na anawatakia kila la heri katika kazi ya kujenga Taifa.
Mtawa wa makanisa ya Budha Afrika Mashariki, Mchungaji. ILukpitiye Pannasekara akiwa na viongozi mbalimbali nchini.
 Rais, Jakaya Mrisho Kikwete wakijadiliana jambo kwa furaha
Ilikuwa raha tu siku hiyo