Friday, January 13, 2012

MICHEZO MBALIMBALI YA SOKA NCHINI



Kipa wa timu ya Ngome ya Lugalo ya mpira wa magongo, Cosmas Bukoke, akizuia mpira wakati wa mashindano ya phoenix assurance mapinduzi yaliyoanza kuchezwa kwenye Uwanja wa mpira wa magongo Lugalo, Dar es Salaam jana. Timu ya magereza ilishinda bao 8-0.














Mmoja wa wachezaji wa Simba SC walio chini ya umri wa miaka 14 akiruka mazoezini kujiandaa na mechi ya kirafiki na timu ya kituo cha Chipukizi cha Sinza itakayochezwa mwishoni mwa mwezi Januari mwaka huu kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam jana.

 KASEJA WA BAADAE
 KUMBUKUMBU
MARYSA  JACOB
NI MIAKA MIWILI SASA TANGU UTUTOKE TULIKUPENDA SANA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI, TUNAJUA KIMWILI HAUPO NASI ILA KIROHO  TUPO PAMOJA; TUNAKUKUMBUKA SANA TUKIKUMBUKA UCHESHI  WAKO, TABASAMU LAKO NA MENGI TULIOKUWA TUKIFANYA PAMOJA,  Mimi Mama yako Janeth Shekunde, Bibi yako, Rahel Shekunde, Dada zako, Careen, Rahel, Veronica, Dora na ndugu wengine wanakukumbuka sana.

MWANGA WA MUNGU UKUMURIKIE MILELE UPUMZIKE KWA AMANI AMINA. 
 Nitazidi kukukumbuka mwanangu mpenzi.

No comments:

Post a Comment