Saturday, January 21, 2012

 Uongozi wa Manispaa ya Kinondoni umekataza kutokuwa na gereji bubu kama hii hapa, huu ni uchafuzi wa mazingira.


Madereva wa pikipiki aina ya TOYO wakisubiri abiria katika soko la Buguruni jijini Dar es Salaam
 NYANYA sasa ni adimu kwa kipindi hiki ndoo moja ndogo ni sh. 6,000 bila punguzo.
 MAZOEZI YA MICHEZO MBALIMBALI SASA


 Emilian Katabaro kazi sasa.

 MAMBO YA TASWA

No comments:

Post a Comment