Friday, February 24, 2012

MICHEZO MBALIMBALI NA MATUKIO YA MTAANI

 
Nahodha wa timu ya mpira wa mguu kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Good Samaritan, Abdillah Barakat, akikabidhiwa kombe na mgeni rasmi, Sakina Shiraz, (katikati) mara baada ya ushindi kwenye uwanja wa michezo Chuo Kikuu Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu wa Shule hiyo, Jarzana Mussaji na Kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Arseniks Ndege.
 Mchezaji wa timu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Good Samaritan, Khaleed Nurdin, akipiga mpira wakati wa mechi dhidi ya kidato cha tatu uliyofanyika katika uwanja wa chuo kikuu Dar es Salaam jana.

 Mchezaji wa mpira wa mkono Kidato cha Nne, Suhail Alibhai, akipiga mpira wakati wa mechi dhidi ya kidato cha pili wote ni wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Good Samaritan kwenye uwanja wa Chuo kikuu  Dar es Salaam  jana.

 Mtoto akiokota chupa kwa ajili ya kujipatia kipato
Hali ngumu ya maisha inamlazimu kufanya kazi kama hii ili kuongeza kipato

No comments:

Post a Comment