Friday, February 17, 2012

YALIYOJIRI MITAANI WIKI HIIII

 Mfanyabiashara katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam akijipatia kipato kwa kuuza machungwa, kwa bei ya sh. 200 hadi 250 kwa moja.
 HAYA SASA KIZAA ZAA Kigamboni
 Mambo ya  SUN RISE beach  Mjimwema jamani, ukienda unatakiwa kuwa na vitu kama hivi kwa ajili ya kuogelea
 Kivuko hichi hivi sasa tangu nauli ipande hakuna hata upungufu wa abiria zaidi yake wamezidi kuongezeka kutoka sehemu mbalimbali kutembelea vivutio vya Kigamboni.
Biashara nyingine jamani zinastabisha watu, Mfanyabiashara huyu akipiti pembeni mwa barabara ya Kigamboni kutembeza madumu na ndoo kwenye maduka.
 Mambo ya usafiri wa bodaboda katika barabara ya Kigamboni jijini Dar es Salaam, wakisubiri abiria kuwapeleka sehemu mbalimbali.
Mdau wa blog hii, Elias Mkapa akiwa amepozi nje ya ukumbi wa Sunrise jijini Dar es Salaam



HAYA SASA UKIONA, KOBE KAINAMA UJUE ANATUNGA SHERIA!!
WENGINE WATAJIULIZA SHERIA GANI HIYOOO???? UTAJIONEA WIKI IJAYO.





No comments:

Post a Comment