Saturday, April 30, 2011

CHEKA KIDOGO LEO.

Leo si siku ya wenye mabavu hapana bana nimekoseaa tu ng’oja nikupe stori ya ukweee, jamaa moja lilikuwa linasikia, sijui linahisi njaa silikaamua kwenda kwa mama nijazie lilipofika kule likala hadi likavimbiwa likaaza kuumwa tumbo badala ya kudaiwa pesa likapelekwa hospitalini kwa matibabu ya tumbo, jamaa balaaa weeee!

No comments:

Post a Comment