Thursday, April 28, 2011

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, (Kulia)akifafanulia jambo na Afisa Uhusiano wa Chuo Kikuu cha St. John’s, Karimu Meshark,  wakati wa kutembelea katika banda lao la  maonyesho ya sita ya Vyuo Vikuu yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment