Saturday, April 23, 2011

MAMBO YA SIKUKUU HAYO.

Wafanyabiashara wa mbuzi  eneo la vingunguti jijini Dar es Salaam, wakiwasubili wateja  wa kununua mbuzi ambao walikuwa wakiuzwa kuanzia Sh  90,000 na 120,000 kwa ajili ya sikukuu ya Pasaka . Picha na Deus Mhagale.

No comments:

Post a Comment