Saturday, September 3, 2011

KUBORESHA

Mfanyabiashara wa vitu vya kuwekea maua, Godlove Ajuaye akipaka rangi chungu kwa ajili ya kukiweka tayari kwa kuuza kwa bei ya Sh. 15,000 hadi 25,000 kutegemea na ukubwa wake eneo la Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment