Monday, September 19, 2011

MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJILI


 Katibu wa WAYODE akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wenzake mjini Dodoma hivi karibuni


Mkurugenzi wa Kampuni ya Ndula Products, Janet Mlowe, akimuonyesha moja ya mvinyo anaotengeneza Msemaji wa Ubalozi wa Marekani nchini, Roberto Quiroz, wakati wa maonyesho ya wajasiriamali ambayo yameendeshwa na taasisi ya TWENDE, yaliyofanyika katika Uwanja wa Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana.


Meneja Masoko wa Kampuni ya Mildor Group, Magdalena Chagile (Kulia) akiwauzia wateja waliotembelea kwenye maonyesho ya wiki ya wajasiriamali yaliyofanyika kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja hivi karibuni yaliyoandaliwa na TWENDE.

Waziri wa Maendeleo, Jinsia na Watoto, Sophia Simba akiangalia ubuyu bidhaa inayotengenezwa na Kampuni ya Mildor kwenye maonyesho ya wiki ya wajasiriamali yaliyofanyika kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja hivi karibuni yaliyoandaliwa na TWENDE. Kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Magdalena Chagile.

 WASHIRIKI WA MAFUNZO YA WAJASIRIAMALI
Mkurugenzi Mkufunzi wa Kampuni ya Dimod Intergrated Awereness Solutions,Mahmoud Omary, akitoa mafunzo kwa wajasiriamali wakati wa semina ya mafunzo inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwenye Chuo cha Ustawi wa Jamii Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment