Saturday, December 10, 2011

MAANDAMANO YA MIAKA 63 YA HAKI ZA BINADAMU


Ndio tunajiandaa, maandamano ya maadhimisho ya miaka 63 ya haki za binadamu duniani yaliyofanyika Dar es Salaam jana.





Bendi ya Jeshi la Magereza wakiburudisha wakati wa maandamano ya maadhimisho ya miaka 63 ya haki za binadamu duniani yaliyofanyika Dar es Salaam jana.  


Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela, akiwa ameshika bango lenye ujumbe, wakati wa maandamano ya maadhimisho ya miaka 63 ya haki za binadamu duniani yaliyofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Helen Kijo Basimba.

No comments:

Post a Comment