Saturday, December 31, 2011

MATUKIO MBALIMBALI

 Wafanyabiashara wa Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam, wakiuza ndizi kwa bei ya sh. 20,000 hadi 30,000 kwa mkungu.

 CHAGUA KICHANE KIMOJA SH. 2000 HADI 3000 MABIBO HAPA
 MATUNDA KAMA HAYO, VIWANDA VIKOWAPI TUOKOE MKULIMA WA MATUNDA KWA NYAKATI.
Mfanyabiashara wa kuuza vyungu vya kuwekea maua, Sospeter Jeremia, akitengeneza chungu katika eneo Kijitonyama Dar es Salaam jana, chungu kimoja ni kati ya sh. 30,000 hadi 40,000.
Wachezaji, Mack Gerald (7) na Darenn Kimari (5) wakifanya mazoezi  kwenye uwanja wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana.
Kocha wa Tenesi, Mussa Haruna,akiwafundisha wachezaji, Mack Gerald (7) na Darenn Kimari (5) wakifanya mazoezi  kwenye uwanja wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana

No comments:

Post a Comment