Saturday, December 17, 2011

MATUKIO MBALIMBALI

 Samaki wawili watu elfu itakuaje hapa.
Wafanyabiashara wa Soko la Feri jijini Dar es Salaam, wakisubiri kununua samaki kwa mnada katika soko hilo kwa bei ya sh. 30,000 hadi 35,000 kwa fungu.
Mfanyabiashara ndogondogo akisaka wateja katika sehemu mbalimbali jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment