Wednesday, August 24, 2011

Hafla fupi ya kuwaapisha Walimu waliojitolea kuwasaidia Watanzania kwa kutumia Elimu yao katika Mikoa mbalimbali Nchini ilivyokuwa kwenye Ukumbi wa Nyumbani kwa Balozi wa Marekani Masaki jijini Dar es Salaam jana.


 KUIGIZA SASA
 WATU WALIPENDEZA KAMA KAWAIDA
 BURUDANI MBALIMBALI WEE ACHA TU




 WAKATI  NDIO HUO



Balozi wa Marekani nchini, Alfonso Lenhardt (katikati), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Selestine Gesimba na Andrea Wajnar-Diagnne wa Peace Coaps Tanzania Country Director,  wakila keki baada ya kumalizika hafla ya kuapishwa walimu wa kujitolea kutoka marekani ambao watafanya kazi nchini kwa miaka 2 .


No comments:

Post a Comment