Saturday, August 6, 2011

SIKU YA MAOMBEZI KWA WAPENDWA WETU WA NORWAY.

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Kihindu Tanzania, Dinesh Vaishnau, akiwa na baadhi ya washiriki walioshiriki kwenye kumbukumbu ya vifo vya raia wa Norway, ambao walipoteza maisha kwa mlipuko wa  mabomu hivi karibuni. Ibada hiyo ilifanyika katika ofisi za ubalozi wa nchi hiyo  Dar es Salaam jana.


 WALIOHUDHURIA NI WATU KUTOKA MATAIFA MBALIMBALI








 TUNAWAKUMBUKA KWA SALA
Mchungaji wa dhehebu la Bhudha kutoka nchi ya Sri Lanka nchini, Ilukpitiye Pannasekara, akisali kwenye ibada ya kumbukumbu ya vifo vya raia wa Norway ambao walipoteza maisha kwa mlipuko wa bomu ijumaa iliyopita nchini Norway. Ibada hiyo ilifanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Balozi wa Norway nchini, Svein Baera. 


No comments:

Post a Comment