Friday, August 12, 2011

WATOTO WANAVYOPATA TABU YA MAISHA

Wakati juzi ilikuwa siku ya uzinduzi wa ripoti ya utafiti na mpango wa kitaifa wa kushughulikia ukatili kwa watoto na mpango wa udhibiti wa taifa, mpango huo hautafanikiwa ikiwa juhudi kubwa hazitaelekezwa kusaidia watoto kama hawa wanaoishi katika mazingira magumu, kama wanavyoonekana pembeni ya Barabara ya Samora, jijini Dar es Salaam juzi.

 Uzinduzi wa Chama cha Umoja wa Wanafunzi waliosomea  nchini China ulivyokuwa Dar es Salaam

PICHA YA PAMOJA NA BALOZI wa China nchini, Liu Kinsheng wa (tatu kulia).

No comments:

Post a Comment