Saturday, July 23, 2011

Buriani Dany Mwakiteleko


Marehemu Danny  enzi za uhai wake


Marehemu Danny akiwa hospital
MHARIRI wa gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri Mtendaji wa New Habari, Danny Mwakiteleko, amefariki dunia. Habari ambazo blogu hii imezipata leo alfajiri na kuthibitishwa na watu wa karibu zinasema kwamba Mwakiteleko amefariki leo alfajiri katika hoispitali ya Muhimbili. Mwakiteleko alilazwa katika kitengo cha watu mahtuti Muhimbili baada ya ajali aliyoipata juzi usiku (jumatano) eneo la Tabata (ToT) na kukimbizwa katika Hospitali ya Amana, Ilala na baadaye Muhimbili.

No comments:

Post a Comment