Friday, July 29, 2011

MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YALIVYOKUWA KIGAMBONI DAR ES SALAAM JANA.

 Hapa ni VIONGOZI wa siasa kutoka vyama vya siasa mbalimbali Nchini.
 Juu ni Wanafunzi waliopitia katika CHUO hicho enzi za MWALIMU
 Aliyekuwa mkuu wa CHUO hicho akitoa naye maoni yake kwenye mdahalo
 Mwakilishi kutoka Chama cha TLP, GETRUDA PWILLA akitoa maoni yake kwenye mdahalo
Wanafunzi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere, wakishangili baadhi ya hoja zilizokuwa zikitolewa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya chuo hicho na kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yalifanyika chuoni hapo Kigamboni Dar es Salaam.
 Naye mwakilishi kutoka CHAMA CHA NCCR - MAGEUZI, JUJU MARTIN DANDA akitoa maoni kwenye mdahalo.
 PICHA ZA PAMOJA NDIO HIZO


 MAONYESHO YA MACHAPISHO MBALIMBALI YANAYOONYESHA VIONGOZI MBALIMBALI





 PICHA YA PAMOJA NA BENDI YA ENZI HIZO SIKINDE.
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mwalimu Nyerere, Dk. Salim Ahmed Salim (kulia) akitoka kwenye ukumbi wa sherere baada ya kufikia mwisho wa maadhimisho ya miaka 50 ya chuo hicho pamoja na kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, yaliyofanyika chuoni hapo Kigamboni Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho, Dk. John Magotti.
 Bendi kutoka JESHI LA POLISI NAO WALIKUWEPO kuburudisha.
Wanamuziki wa bendi ya Sikinde, Yusuph Bernad(kulia) na Shabani Lendi (kushoto) wakitumbuiza siku ya maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Mwalimu Nyerere Kigamboni Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja na kumbukumbu ya kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo jana. 
HASSANI KUNYATA miongoni mwa wanamuziki wa bendi ya Sikinde akiimba siku ya maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Mwalimu Nyerere Kigamboni Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja na kumbukumbu ya kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo jana. 

No comments:

Post a Comment