Saturday, July 30, 2011


Akina mama wakiwa wamejitwisha mikungu ya ndizi katika eneo  la Kiwila mkoani Mbeya, kwa ajili ya kuwauuzia wateja wanaopita katika eneo hilo. Mkungu mmoja wa ndizi unauzwa kati ya Sh 3,000 hadi Sh 4,000.

             

No comments:

Post a Comment