Thursday, July 21, 2011

JAMII YETU

 Wanawake wajasiliamali kutoka kijiji cha Bihawana mkoa wa Dodoma, wakiwa na bidhaa zao baada ya kushuka kwenye daladala wakisaka wateja wa kununua bidhaa, hapa wakipita barabara ya stendi  Dodoma hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment