Thursday, July 21, 2011

SIKU YA WIKI YA MAONYESHO YA MALIASILI NA UTALII YALIVYOKUWA KATIKA MAKUMBUSHO YA TAIFA DAR ES SALAAM

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, MaimunaTarishi
Akisalimiana na wafanyakazi wa makumbusho
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, akisaini kwenye daftari la wageni.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa, Jackson Kihiyo. Wakati wa kilele cha maonyesho ya maliasili na utalii yaliyofanyika Dar es Salaam jana.



















No comments:

Post a Comment